Pages

Kwa Mara ya Kwanza Kanye West Akutana Uso kwa Uso na Jay Z Baada ya Kuidiss “Suit & Tie’

Timberlake na Jay Z
.Baada ya Kanye West kuidiss “Suit & Tie’ ya Justine Timberlake na Jay Z mwanzoni mwa mwaka huu kitu ambacho kilimfanya Timberlake nae kumjibu, mengi yalizungumzwa ikiwemo kutokuwepo kwa uhusiano mzuri kati ya J na Kanye lakini kumbe sio, wameonekana pamoja tena wakiwa na furaha muda mfupi baada ya Kanye West kuonekana akifanya shopping ya mama mtoto wake Kim K.
Kanye West
.Kanye West
picha zote kutoka necolebitchie.com

No comments: