Rapper Roma Mkatoliki ni mshindi wa tuzo za KTMA 2012 lakini mwaka huu
2013 hajapata nafasi yoyote ya kuwa nominated kwenye list, ni miongoni
mwa mastaa wa hiphop ambao hawako kwenye list kabisa mwaka huu ambapo
moja ya vigezo vya msanii kushiriki kwenye tuzo za ni lazima wimbo wake
uwe umefanya vizuri kwa mwaka uliopita.
.
.
No comments:
Post a Comment