Pages

Angalia Jinsi Hackers Walivyoifanya Mbaya Website ya Makamu wa Rais!

Katika hali isiyo kuwa ya kawaida hackers wameendelea kusumbua na sasa ni zamu ya tovuti ya serikali ya makamu wa rais kilicho andikwa nimatusi kwa maandishi na kuna muziki wa hiphop wa mitusi.. Kuna mtu anajiita Govt Attacker. Mr. Spam ..! Eti ni Mmoroco.

No comments: