Pages

Spika Ameahirisha Kikao cha Bunge Kufuatia Vurugu Zilizo Ibuka Mtwara! (Video)

Spika wa bunge ameahirisha kikao cha bunge jioni hii kutoa muda kwa serikali na uongozi wa bunge kutafakari na kutoa taarifa bungeni kuhusu hali halisi kufuatia vurugu zilizotokea Mtwara wakati bajeti ya wizara ya nishati na madini ikijadiliwa bungeni.

No comments: