Pages

Serikali Imelaumiwa kwa Kuwaacha Wawekezaji Wakigeni Kuwa na Umiliki wa Ardhi wa Kimila... (Video)

Serikali imelaumiwa kwa kuwaacha wawekezaji na raia wakigeni kuwa na umiliki wa ardhi wa kimila kinyume na sheria za nchi pamoja na kutakiwa kuhakikisha jengo lililoko karibu na jengo lililoporomoka jijini dar es salaam linabomolewa haraka iwezekanavyo kutokana na kuwa hatari kwa usalama wa wananchi

No comments: