Serikali imelaumiwa kwa kuwaacha wawekezaji na raia wakigeni kuwa na
umiliki wa ardhi wa kimila kinyume na sheria za nchi pamoja na kutakiwa
kuhakikisha jengo lililoko karibu na jengo lililoporomoka jijini dar
es salaam linabomolewa haraka iwezekanavyo kutokana na kuwa hatari kwa
usalama wa wananchi
No comments:
Post a Comment