Serikali Kupitia Wizara ya Elimu Imependekeza Kuhuisha Mfumo wa Elimu
Serikali kupitia wizara ya elimu imependekeza kuhuisha mfumo wa elimu na mafunzo kwa kujumuisha elimu ya msingi na elimu ya Sekondari ngazi ya kawaida kuwa elimu msingi ambayo itatolewa kwa miaka kumi ili kuinua kiwango cha elimu nchini.
No comments:
Post a Comment