Pages

Mshindi wa The Vodacom Mic King 2013 ni Martin Fundi

MARTIN FUNDI
...Akiliwasha gari lake.Vodacom Tanzania, Matina NkurluMeneja wa Mahusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kushoto) akimkabidhi ufunguo wa gari mshindi wa The Vodacom Mic King 2013, Martin Fundi. Katikati ni Meneja Matukio wa Dar Live, Abdallah Mrisho.  The Vodacom Mic King 2013, Martin FundiMartin Fundi akifungia mlango wa gari lake.
 The Vodacom Mic King 2013, Martin FundiMashabiki wakiwa wamelizunguka gari la Martin kutoka Kimara usiku wa kuamkia leo ameibuka kidedea katika shindano la The Vodacom Mic King 2013 na kujinyakulia gari jipya aina ya Toyota Funcargo (new model). Shindano hilo lililokuwa likidhaminiwa na Kampuni ya simu ya Vodacom lilidumu kwa takribani miezi sita na usiku wa kuamkia leo ndiyo limefika tamati.

No comments: