Serikali imewatoa hofu wakazi wa ludewa wanaoishi katika mwambao wa ziwa
nyasa ikieleza kuwa hakuna tishio la vita kati ya tanzania na malawi
kuhusiana na ugomvi wa mpaka wa nchi hizo mbili kwenye eneo la ziwa
nyasa kwani mazungumzo yakutafuta suluhu ya mpaka huo yanaendelea
vizuri.
No comments:
Post a Comment