Pages

Msikilize Huyu Mburula Yuko Tayari Kuua Ndugu Yake Kwaajili ya Freemason

Haya ni maongezi ambayo yamerekodiwa ili kutaka kuongelea tatizo kwa uwazi, kama ukisikiliza jinsi ambavyo jamaa akiulizwa kwanini anataka kujiunga na chama hicho akajibu ni ugumu wa maisha ndio maana anaona bora aingie huko na kwamba alishapeleka barua za maombi ya kujiunga ofisini kwao

Amini Mungu wako omba sana nae atakuonesha njia!