Haya ni maongezi ambayo yamerekodiwa ili kutaka kuongelea tatizo kwa uwazi, kama ukisikiliza jinsi ambavyo jamaa akiulizwa kwanini anataka kujiunga na chama hicho akajibu ni ugumu wa maisha ndio maana anaona bora aingie huko na kwamba alishapeleka barua za maombi ya kujiunga ofisini kwao
Amini Mungu wako omba sana nae atakuonesha njia!