DarSlam NetWork
Pages
Home
Mafuriko! Mafuriko!
Mvua kubwa zilizonyeesha kwa siku tatu mfululizo jijini Tanga zimesababisha nyumba zaidi ya 100 kuzungukwa na maji huku mashimo ya Baadhi ya nyumba hizo yakimwaga vinyesi katika makazi ya watu hatua inayoleta hofu ya mlipuko wa magonjwa.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment