Pages

Kibanda Akiwa Katika Matibabu Ya Jicho Lake Lililotobolewa na Majambazi

Kibanda
Hivi ndivyo ilivyokuwa hospitalini leo wakati daktari wa jicho aliyedhaminiwa na hospitali ya Milpark alipokuwa akinichunguza jicho lililoharibiwa wakati wa shambulio usiku wa kuamkiia Machi 6 mwaka huu. Hapa ni Johannesburg, Afrika Kusini ninakoendelea na matibabu.

No comments: