Hivi ndivyo ilivyokuwa hospitalini leo wakati daktari wa jicho aliyedhaminiwa na hospitali ya Milpark alipokuwa akinichunguza jicho lililoharibiwa wakati wa shambulio usiku wa kuamkiia Machi 6 mwaka huu. Hapa ni Johannesburg, Afrika Kusini ninakoendelea na matibabu.
No comments:
Post a Comment