Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ibrahim Kilongo.
JESHI la Polisi Mkoani Polisi Mkoa wa Arushalinamshikilia mtu mmoja ambaye anahusishwa na kutokea kwa mlipuko uliotokea katika kanisa la Katoliki la St Joseph Olasiti Arusha leo asubuhi.
Tukio hilo lilitokea wakati Balozi wa Papa kutoka Vatican akizindua Parokia hiyo mpya ya St Joseph Olasiti ya Jijini Arusha.Kama unavyoona katika picha ni kanisa katoliki, parokia mpya ya Olasisi jijini Arusha ilivyo baada ya kulipuliwa na bomu mapema leo.Mpaka sasa mtu mmoja anashikiliwa na jeshi la polisi huku msako wa kuwatafuta watuhumiwa wengine unaendelea.
JESHI la Polisi Mkoani Polisi Mkoa wa Arushalinamshikilia mtu mmoja ambaye anahusishwa na kutokea kwa mlipuko uliotokea katika kanisa la Katoliki la St Joseph Olasiti Arusha leo asubuhi.
Tukio hilo lilitokea wakati Balozi wa Papa kutoka Vatican akizindua Parokia hiyo mpya ya St Joseph Olasiti ya Jijini Arusha.Kama unavyoona katika picha ni kanisa katoliki, parokia mpya ya Olasisi jijini Arusha ilivyo baada ya kulipuliwa na bomu mapema leo.Mpaka sasa mtu mmoja anashikiliwa na jeshi la polisi huku msako wa kuwatafuta watuhumiwa wengine unaendelea.
No comments:
Post a Comment