Pages

CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU) CHATOA UNAFUU KWA WANAFUNZI WA KITANZANIA WATAKAOJIUNGA NA CHUO HICHO

CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Mkuu wa chuo akikielezea chuo hicho wakati wa maafali ya chuo yaliyofanyika Jumapili May 5, 2013 Fairfax Virginia nchini Marekani
CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Wahadhili wa chuo pamoja na mgeni rasmi katika picha
CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Mhadhili akitoa cheti kwa mmoja ya wahitimu wa chuo hicho kwenye maafali yaliyofanyika Jumapili May 5, 2013 Fairfax Virginia.
CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Baadhi ya wanafunzi Watanzania wanaosoma chuo hicho Kutoka kushoto ni Alex John Luketa(student recruitment and marketing assistant in Virginia international University ),anaefuata Veronica N Magacha ,Cathereen Virginia Minja, Rehema Waziri ,Winfrida Josephat na Jose Fabian

Bendera ya Tanzania inayowawakilisha wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma chuo hicho cha Virginia International University. ikipitishwa mbele na mwanafunzi wa ...
Kitanzania Winfrida Josephat.
CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa chuo.
CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Bendera za nchi mbalimbali zinazowawakilisha wanafunzi na nchi wanazotoka zikisimikwa.
CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Juu na chini ni picha ya pamoja ya wanafunzi waliomaliza chuo
CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU)
Hapa chini ni Video ya Alex John Luketa akielezea jinsi ya kujiunga na chuo hicho hasa kwa wanafunzi wa kutoka Tanzania hebu msikilize
NB: Now we are recruiting student for summer II and Fall 2013, Virginia International University Now we are can process admission very fast, just find me in FACEBOOK; Alex john Luketa and skype; alex.john.luketa in my number +15712449300 in this number you can get me in whatsapp,Tango,viber and also in my email alex@viu.edu) for more information visit www.viu.edu.