Pages

BREAKING NEWS: ZAIDI YA WANAFUNZI 30 WA SHULE YA SECONDARI MANZESE WANAANGUKA HOVYO NA KUZIMIA

SECONDARI MANZESE
Wanafunzi wa shule ya secondari manzese zaidi ya 30 muda huu wanaanguka hovyo hovyo na kusema a mane no yasiyoeleweka kutokana na kinachohisiwa kuna nguvu za Giza zimetanda shuleni hapo huku wakijibamiza kwenye miti:
MANZESE SECONDARI
Mmoja wa wanafunzi wa shule ya Sekondari Manzese aliyeanguka na kuweweseka.Mpaka sasa haijafahamika chanzo cha wanafunzi wa shule hiyo kukimbia ovyo,kuanguka na kuweweseka.
Picha:Zainab Chondo wa ITV