Pages

Bondia Cheka Amenyakua Gari Mpya Baada ya Kumtwanga Mashali

Mashali Bondia Cosmas Cheka kushoto akipambana na Charles Mashali wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba siku ya mei mosi Cheka alishinda kwa ponti mpambano huo Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Cheka amemtwanga mashali roundi ya 10 baada ya kumshusshia konde la nguvu lililopeleka mashali kupoteza fahamu kwa muda

No comments: