Pages

BABA JONII KUTAMBULISHA BOONGE LA MIXTAPE KESHO KWA BIRTHDAY YAKE 16TH MAY

Adam Mchomvu a.k.a baba jonii Radio presenter clouds fm mwenye crown ya best presenter, anatarajia kutoa mixtape yenye ngoma kumi na nane alioshirikiana na wasanii mbali mbali kama Jose Mtambo, Banana Zorro, Illimatix, Cliff mitindo, G.nako, Niki wa 2, Babuu wa kitaa, TID, na wasanii wengine wengi kama zawadi kwa mashabiki wake ibaki kama kumbukumbu kwa kile anachokifanya hewani (on air) ... mixtape itaingia kitaani soon baada kupreview ngoma hizo ndani ya double XL (XXL) kuanzia saa tisa alasiri kwa hot 3 @ 3 ..... big up baba la baba!
BABAJONII MIXTAPE VOL 1