Pages

Polisi Walivyowadhibiti Wanafunzi wa IFM Kigamboni

IFM Kigamboni
Wanafunzi wa Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM) wakielekea kupanda Difenda huku wakiangukiana baada ya kupigwa mabomu kwenye kituo cha Polisi Kigamboni walipofika kulazimishwa kufanya, mkutano na Kamanda Kova mbele ya Kituo hicho badala ya eneo lililoandaliwa kwenye viwanja vya mpira vya Machava.
IFM Kigamboni
Wakipandishwa kwenye Difenda kwa nguvu
IFM Kigamboni
Askari aliyevaa nguo za kiraia akimsulubu mmoja wa wanafunzi wa IFM mbele ya ,,
kituo cha polisi

Wanafunzi hao wakielekea kwenye kituo cha polisi huku wakiamriwa kunyoosha mikono juu baada ya kuwekewa mtego na kunaswa.

Mwanafunzi akipandishwa kwenye Difenda.

Kundi hili lilijificha kwenye baa iliyopo eneo hilo wakipigwa mabomu na kuchomolewa.


Hiki ndicho kikosi Kizima kilichowadhibiti wanafunzi wa IFM ndani ya dakika 15