Watu Wawili Wanaosadikiwa Kuwa Wezi wa Pikipiki Wamechomwa Moto Tegeta
Watu wawili wanao sadikiwa kuwa ni wezi wa pikipiki maarufu kama boda boda wameuwawa na wananchi wenye hasira kali huku mmoja akinusurika kufa katika eneo la tegeta masaiti, kwa tuhuma nyingine za jaribio la wizi wa pikipiki.
No comments:
Post a Comment