
Mkali wa long time kwenye game la Bongo Fleva Tzee Henry Sammir mwenye
a.ka. nyingi tu Mr. Blue ameonyesha kukerwa na uzushi kuwa ametupiwa
virago aka vyombo vyake nje katika nyumba aliyokuwa akiishi maeneo ya
Posta jijini Dar es salaam.
Akitia story na Gossip Cop Soudy Brown katika kipindi cha XXL cha Clouds Fm leo mchana,Blue ama Kabaiser kama anavyopenda kujiita amesema nyumba hizo za shirika la nyumba la taifa NHC alikuwa akiishi mzee wake ambaye amekutana na sakata hilo ambalo tayari limekwishatafutiwa ufumbuzi lakini watu wamechanganya madawa na kudai ni yeye Blue wakati si kweli.
Akitia story na Gossip Cop Soudy Brown katika kipindi cha XXL cha Clouds Fm leo mchana,Blue ama Kabaiser kama anavyopenda kujiita amesema nyumba hizo za shirika la nyumba la taifa NHC alikuwa akiishi mzee wake ambaye amekutana na sakata hilo ambalo tayari limekwishatafutiwa ufumbuzi lakini watu wamechanganya madawa na kudai ni yeye Blue wakati si kweli.
Blue amechukizwa sana na wasambazaji wa habari hizo ambazo zimedai
tayari watu walishaanza kugawana pamba zake ambapo amesema watasubiri
sana.
No comments:
Post a Comment