Pages

Balozi wa Tanzania Nchini Ufaransa, Mhe. Begum Taj Akiwa Tayari Kumpokea Rais Kikwete

Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Begum Taj na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania wakimsubiri Rais Jakaya Kikwete uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Charles de Gaulle jijini Paris, Ufaransa, tayari kuanza ziara yake ya kiserikali ya siku tatu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mke wa Rais wa Mali, Mama Touré Lobbo Traoré waliyekutana naye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Charles de Gaulle jijini Paris, Ufaransa, baada ya kuwasili tayari kuanza ziara ya kiserikali ya siku tatu.
Mama Salma Kikwete akiongea na mke wa Rais wa Mali, Mama Touré Lobbo Traoré waliyekutana naye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Charles de Gaulle jijini Paris, Ufaransa, baada ya kuwasili tayari kuanza ziara ya kiserikali ya siku tatu.
(PICHA NA IKULU)