Pages

Mbunge wa Kenya Atinga Bungeni na Kiduku -Mohawk

Mike Sonko Mike Sonko, Mbunge wa Makadara nchini Kenya, na rafiki wa karibu wa Jaguar, mwenye vioja kila kukicha ndani ya bunge, baada ya kuingia huku akiwa ametupia hereni maskioni, jana alionekana na kioja kingine baada ya kuingia bungeni akiwa ameonyoa burand new hair style ya kijiduku kidogokidogo (mohawk), na kukiandika "PEACE" katikati
KidukuKiduku