

Wadada wengi wamekuwa na tabia ya kujichora tatoo na baada ya muda kugundua kuwa hawazitaki, hivyo blog hii imejikita katika biashara ya kuondoa tatoo. Kwa kutumia teknlojia inayoitwa Tatuu Rimuva wamejipanga kuondoa tatoo kwa mfano zilizopo hapo chini. Meneja masoko ametumwa kuwatafuta wenye tatuu hizi na kujaribu kuingia nao katika mkataba huu mnono wa kuondoa tatuu zao kwa machine iliyopo hapo juu. Tayari wafanya kazi sita wamemaliza kozi ya digrii ya kutumia mashine hiyo mpya.

CHEKA NA KITIME