Pages

MAELFU WAMZIKA ALBERT MANGWEA MOROGORO (Video)

Maelfu ya wananchi wa mkoa wa Morogoro na maeneo mengine ya jirani wamejitokeza kwa wingi kuuaga na kuuzika mwili wa aliyekuwa msanii wa kizazi kipya, Albert Magwea maarufu kama Ngwear au Cowboy.