Consert ya D’Banj aliyoifanya June 23 2013 imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kupata watu wengi na pia show zote kutoa burudani iliyotarajiwa ambapo pia rapper 2Chainz kutoka Marekani, na Fally Ipupa kutoka Congo DRC ni miongoni mwa waliopafom.
Show ilifunguliwa na On-Air Personality Tolu Oniru na real housewives star Kenya Moore ambapo waliohudhuria ni pamoja na mke wa mwimbaji Mnigeria 2Face Idibia (Annie).
Annie Idibia akiwa na Nollywood star Susan Peters na staa Juliet Ibrahim wa Ghana.
.
D’Banj na Kenya Moore
No comments:
Post a Comment