Pages

Dar es Salaam Yatoa Ratiba ya Ziara ya Rais Obama (Video)

Mkoa wa Dar es salaam umetoa ratiba ya ziara ya Rais Baraka Obama wa Marekani anayetarajiwa kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyarere kesho saa 8.dakika 40 mchana kwa ziara ya siku mbili akitoka nchni Afrika ya Kusini.