Pages

Serengeti Boys Kuchaguliwa Kutoka Airtel Rising Stars

Wachezaji watakaounda kikosi cha timu ya soka ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 Serengeti Boys watachaguliwa kupitia michuano ya kusaka vipaji ya Airtel rising stars inayoendelea katika mikoa mbalimbali hapa nchini.

No comments: