Pages

Yanga Imesema Haitokwenda Kuchukuwa Zawadi Yake ya Ubingwa

Timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam imesema haitokwenda kuchukua zawadi yake ya ubingwa itakayotolewa julai tatu na kampuni ya simu ya Vodacom ambao ndiyo wadhamini wa ligi hiyo kwa madai ya kucheleweshewa.

No comments: