Pages

Picha za Poetry Addiction Ya Cheusi Dawa Ilivyokuwa Pale Trinity Usiku Wa Jana

Jana kampuni ya Cheusi Dawa ilifanya kitu kinachoitwa #PoetryAddiction 2013 ikishirikisha wasanii wa Hip Hop na RnB kutoka Tanzania, kama Mad Ice, Chidi Beenz, Wakazi, One The Incredible, Damian, Fid Q mwenyewe na wengine kibao. Show hiyo ambayo Ncha Kalih alii-host na ilikuwa ikifanyika live, ilikuwa ni ya aina yake.
 Poetry Addiction Ya Cheusi Dawa
 Poetry Addiction Ya Cheusi Dawa

WAKAZI
Rapper WAKAZI on stage …
Vanessa Mdee
Vanessa Mdee and a friend.

Ngosha himself a.k.a FidQ
Slide Visuals
Mzungu Kichaa na Fid Q



 Poetry Addiction Ya Cheusi Dawa

Chidi Beenz
 Poetry Addiction Ya Cheusi Dawa

NchaKalih (The Host)
 Poetry Addiction Ya Cheusi Dawa

TK Nendeze and friends …


 Poetry Addiction Ya Cheusi Dawa
Millard Ayo …
One The Incredible
One The Incredible …



Fid Q.



Mad Ice rocking the stage with a guitar ….

Damian
Picha na Slide Visuals