Nyumba nne zimeungua moto ikiwemo baa moja iliyopo Kinondoni maarufu
kama Kinondoni sterio ambayo imeteketea yote huku ikiacha hali ya
sintofahamu kwa ndugu jamaa na marafiki waliopaswa kuhudhuria
sherehe iliyokuwa imepangwa kufanyika katika moja ya ukumbi uliopo
katika baa hiyo.