Pages

Wake Up Tanzania, This is BullShit!!

Bondia Wema Sepetu akimkimbia mpanzani wake Jacklen Wolper wakati wa mpaambano wao huku akikenua meno akijua wazi kwamba watu wameacha shughulizao na kuja kutazama mpambano huo.
 Kocha wa Wema Sepetu, Rashidi Matumla akimvua Joho wema kabla ya kupigana  
 Endelea Read more for more BullShit pictures

Mabondia ambani ni wacheza filamu maarufu nchini Wema Sepetu kushoto na Jacklen Wolper katika masumbwi wakati wa Tamasha la Matumaini lililofanyika jumamosi katika uwanja wa Taifa 
Refa John Chagu akiwainua mikiono juu mabondia Jacklen Wolper kushoto na Wema Sepetu kuashiria mpambano wao ni droo
WEMA NA WOLPER KATIKA ALAMA ZILEZILE
Baada ya mpambano wawili hawo hawo wanaondoka eneo la tukio

No comments: