Polisi Watembeza Kichapo katika Ibada Maalum ya Kuwaombea Waliofariki Katika Meli ya Mv Skagit!
Jeshi la polisi kisiwani Zanzbar limelazimika kutumia mabomu ya machozi
kutawanya wafuasi wa kikundi cha uamsho waliokusanyika katika mskiti kwa
ajili ya ibada maalum ya kuombea waliofariki kutokana na kuzama kwa
meli ya Mv Skagit.
No comments:
Post a Comment