Pages

Zikiwa Zimebakia Siku 5. Masanja, Shilole Wakotayari Kuwasha Moto Siku ya Vijimambo.

Vijimambo
Wasanii Masanja mkandamizaji na Shilole katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa kamati ya maandalizi wa sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la Utamaduni wa Kiswahili, Bwn. Baraka Daudi alipokwenda kuwapokea walipotinga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
Vijimambo
Asha Riz mjumbe aliyewawakilisha Tano Ladies kwenye mapokezi hayo akipata picha ya pamoja na wasanii Masanja Mkandamizaji na Shilole mara tu walipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
Shilole
Shilole katika ukodak moment alipokua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
Sterling, Virginia.
Masanja Mkandamizaji kwenye Ukondak Moment uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
Washington, DC
Msanja akionyesha uwanja wa Julius Nyerere wa Marekani “UNABISHA”