NEC Yawataka Wakazi Arusha Kuondoka Vituoni Baada ya Kupiga Kura
Tume ya Taifa ya uchaguzi( NEC) imetoa tamko kuhusu uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata nne za jiji la Arusha unaotarajiwa kufanyika Jumapili hii na kuwataka wakazi wa Arusha kuwa watulivu na kuondoka katika vituo baada ya kupiga kura zao.