Kocha mkuu wa Yanga Mholanzi Ernie Brandts atapata wakati mzuri wa kuendelea kutathmini viwango vya wachezaji wapya wakati kikosi chake kitakapoikabili timu ya three pillars ya Nigeria katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki utakaochezwa keshokutwa katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.