Pages

Soma Tweet ya Tusi la Mbuge wa Mbeya kwa Waziri Mkuu

Katika hali yakushangaza , mbunge wa mbeya mjini kwa tiketi ya CHADEMA, mh. SUGU ameporomosha tusi zito kwa waziri mkuu wa Tanzania
Tusi la Sugu limekuja baada ya waziri mkuu kuwaruhusu rasimi polisi kutumia nguvu ya ziada kuwadhibiti wananchi kwa kuwashushia kichapo ili wazitii sheria.....
Tweet ya tusi la mbuge wa mbeya kwa waziri mkuu...
Tweet ya tusi la mbuge wa mbeya kwa waziri mkuu