Pages

Sherehe za Mahafali ya Chuo cha Kiislam Mazizinin Zanzibar.

 Chuo cha Kiislam Mazizinin Zanzibar
Mkurugenzi Masoko wa Kampunin ya Simu ya ZANTEL Mohammed Baucha akiwahutubia Wahitimu wa Chuo cha Kiislam wakati wa maadhimisho ya Mahafali ya 11 yaliofanyika katika viwanja vya Chuo hicho huko Mazizini Zanzibar nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
 Chuo cha Kiislam Mazizinin Zanzibar
Mkuu wa Chuo cha Kiislam Zanzibar Dk. Muhidin akihutubia wakati wa mahafali hayo ya 11ya Chuo cha Kiislam Zanzibar ikiwa ni sherehe za maadhimisho hayo yaliofanyika katika viwanja vya Chuo hicho Mazizini.