Jana usiku kuamkia leo wanamuziki Mwana FA na Lady Jaydee waliendelea na show zao kama kawaida na kujirusha kama hakuna kinachoendelea (majonzi). Kwani Ngwear anatofauti gani na Langa?
Na wewe uliekwenda kwenye shoo zao kuonyesha walichokifanya ni sawa unamatatizo ya akili MRUDIE MUNGU WAKO. hata wewe unaeweka picha na video za show yao katika blog/magazeti yako woote ni Mburulazz mkubwa wa wanafki usiejali ubinaadam na kujali pesa, pumbafu zenu!!
Je huu ni uungwana?