Pages

MWANA HIP HOP JOH MAKINI AMELAZWA HOSPITALI YA SINZA PALESTINA JIJINI DAR. SOMA TWEET ZAKE

Joh Makini
Moja ya rapper memba wa kikundi cha hip hop TZ, Joh Makini, yuko hospitali huku akiomba tumuombee na kusema yuko katika hali ya kawaida na si mbaya sana.