Pages

DIAMOND AYAKACHA MAPOKEZI YA NGWAIR NA KWENDA KULA BATA!?!

Diamond
Washabiki wamemponda Diamond kwa kuposti picha zake akiwa baharini akila bata na rafiki zake badala ya kuwa Airport kuupokea mwili wa Ngwair.
Soma baadhi za comments hapo chini
mwili wa Ngwair

  • Salum Mzuka · Institute of finance management(IFM)
    ulimbukeni tu diamond acha ushamba bwege wewe.

  • Ordinary Michael ·  Top Commenter · Manager at Self Employed (Business)
    Huyo ni msenge! halafu hana akili,, nadhani nae anakribia kufa ndo maana,, anachanganyikiwa,, maana mtu akikaribia kufa lazima aache kituko,, kidogo pambafu zake na viela vyake vya upatu hivyo.

    • Aron Dominic · Arusha, Tanzania
      Dah we noma bro makavu live hata hukopeshi

    • Riziki Chelsea Ktbffh · Works at None
      noma

    • Ally Likwambi · VETA
      Tatizo waandishi wetu uchwala badala ya kumnyoosha wao wanampamba mi naona waandishi wa habari ndio wapumbavu wa kwanza then huyo mshamba wao domo

  • Ally Wa Leo · University of Dodoma
    kwani akija yeye ndo NGWEA atafufuka? Kula BATA hadi kuku waone wivu!

    • Idrisa Mrindoko · Dar es Salaam, Tanzania
      au ye ndo atamuombea marehemu?!

  • Albert Simon Lufungulo · Works at Government Employee
    kumbe ngwea alikua anakuumiza kichwa? wenzio wapo kwenye maandalizi ya kumpokea mwili wa msanii mwenzao, wewe unauza sura! dah, hii kali

  • Pascal Gilla · Arusha, Tanzania
    Kibinadamu hakufanya vizuri.Japo aonekane kusikitika kwa kifo cha mwanamuziki mwenzake.

  • Marie Jo Benda · Boniconsilii mabamba galz sec · 510 subscribers
    kila mwanadamu pua yake inaangalia chini....sio poa.