Pages

Video ya Meli Mv. Arafat Ikiteketea kwa Moto Bandarini Tanga

Meli ya mizigo ''Mv Arafat'' inayofanya safari zake kupeleka shehena ya mizigo katika nchi jirani ya Kenya , Zanzibar na Mtwara Imeteketea kwa moto katika bandari ya Tanga kwa kile kinachodaiwa kuwa hitilafu ya umeme.