Pages

Video ya Mahojiano Aliyofanyiwa Mtanzania Aliekamatwa na Dawa za Kulevya Misri.

Kwa zaidi ya wiki moja iliyopita habari zilisambaa kwamba binti Mtanzania aliekamatwa na dawa za kulevya nchini Misri angenyongwa siku za karibuni kutokana na hizo dawa alizokamatwa nazo.
صبايا الخير: تهريب المخدرات من الأجانب إلى داخل مصر .. لقاء مع مهربة تنزانية 
Pata nafasi kuona video ya mahojiano ya TV na msichana huyu ambae anadai alikwenda Misri kumtafuta binamu yake, begi alilokamatwa nalo ni lake ila alikua hajui kama lina dawa za kulevya