Pages

TID AMEAHIDI KUMKANDAMIZA VITASA OMMY DIMPOZ WATAPO KUTANA USO KWA USO

TID,OMMY DIMPOZ
Hawa watoto wadogo wanakuja na kandambili kuomba kuimba sasa hivi wanajifanya wao wanazo hela sana na kututusi sisi especially mkali wangu Albert wallahi mungu
atamlaani.........mshenzi mkubwa na nikikuona nakupiga.
"Hicho ndicho alochokiandika TID aka mnyama kwenye kupitia ukurasa wake wa facebook"