Pages

Rasimu ya Katiba Chadema Waitisha Kikao cha Dharura

Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema kimeitisha kikao cha dharura cha kamati kuu kujadili na kutoa msimamo wa rasimu ya katiba mpya na kuwataka Watanzania kutokua na haraka kuendelea kuichambua rasimu kwa makini ili kuiboresha.