Pages

PICHA ZA MIAKA 13 YA KIKOSI CHA MIZINGA VIWANJA VYA MSASANI CLUB DAR ZIKO HAPA

Afande Sele Afande Sele akiimb kwa hisia kali
 Oooi. usiogope jamaa hapigwiiii ila ni mizuka ya battle man 2 man
Kundi la Kiokosi cha Mizinga limefanya show ya kutimiza miaka 13 tangu lianzishwe
Show hiyo iliyo hudhuliwa na mashabiki kibao wa hip hop wa Jijini Dar es salaam.
Onyesho hilo lilifanyika usiku wa kuamkia leo na kuhudhuliwa na wasanii wa muda mrefu sana waliopotea katika mziki huo wakiwemo Member wa Kundi la Wateule,Mark 2 Be aka Simba wa kundi la Big Dogg Poz, Chidi Benz... Man 2 Man Battle Hakupigwa mtu, sema ooi...
KalapinaKalapina akifanya mambo kwenye stegi
Chidi BenzChidi Benz ndani ya nyumba
Kalapina Mashabiki wakiwa mzukaa mbaya
Kalapina
Man 2 Man Battle
MIAKA 13 YA KIKOSI CHA MIZINGAKumbukumbu Muhimu Mwana

SongaSonga akiwa kwa steji akifanya yake
MIAKA 13 YA KIKOSI CHA MIZINGA Mashuati Mashuati kwenye stage wakionyesha ujuzi wa karate raha kwelii Man 2 Man Battle Haya sasa Man 2 Man Battle nichane nikupasue Man 2 Man Battle