Pages

Ommy Dimpoz Anaomba Msamaha kwa Kumtukana Ngwear. Soma Alichokiandika!!

Ommy Dimpoz  Baada ya watanzania kumwandama Ommy Dimpoz kutokana na tusi alomtukana marehemu Ngwea, msanii huyo ameamua kuwapigia magoti watanzania na kuwasihi wamsamehe.....
Hali hiyo imekuuja baada ya.. watu mbalimbali kutangaza kumsaka Ommy kwa lengo la kumwadabisha kwa kumpa kichapo kikali...
Miongoni mwa watu hao ni TID ambaye kupitia ukurasa wake wa facebook ametangaza vita dhiti ya Ommy Dimpoz....
Hii ni post ya Ommy ambayo ameitoa akiomba asamehewe kwa kauli zake na matusi aliyoyatoa kwa marehemu Ngwea....
facebook