Pages

MTOTO WA SIKU NNE AKAA SIKU SITA SHIMONI

Bahati Upendo
Mtoto Bahati Upendo mwenye siku 3 toka azaliwe alipowekwa na mama yake kwenye mfuko wa mbolea na kutumbukizwa kwenye shimo...
Ndani ya shimo hilo amekaa siku 6 bila kula wala kunywa hadi alipookotwa na wasamaria wema...
Hivi sasa yuko Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma akiwa Salama Salimini .
Yeyote Mwenye nafasi ya kumsaidia mtoto huyu anaweza kwenda moja kwa moja Hospitali.