Pages

LWAKATARE WA CHADEMA AMEPATA DHAMANA

LWAKATARE WA CHADEMA
Mkurugenzi wa Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare akiingia katika chumba cha ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, kabla ya kupata dhamana katika kesi yake inayomkabili ya kula njama ya kutaka kumzuru kwa sumu Mhariri wa gazeti la wananchi.Wilfred Lwakatare
Wilfred Lwakatare akiwa na furaha pamoja na wakili wake baada kupata dhamana katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni mshtakiwa wa pili katika kesi inayomkali akiwa amerudi rumande baada ya kushindwa kukamilisha masharti ya dhamana.
Wilfred Lwakatare
Wakili wa Wilfred Lwakatare, Peter Kibatara akiwa katika picha ya pamoja na mteja wake Wilfred Lwakatare pamoja na wadhamini wake muda mfupi baada ya.....
kuachiwa kwa dhamana na mahakama leo.
Peter Kibatara
Baada ya kupata dhamana safari ya kuelekea uraiani ilianza.
Peter Kibatara
Lwakatare akipandishwa katika Pickup.
Peter Kibatara
Akiwashukuru wanachama na wafuasi wa chama chake.
Peter Kibatara
Msafara ukiondoka katika maeneo ya Mahakama.
Peter Kibatara
Peter Kibatara
Wafuasi wa Chadema wakiwa nje ya Mahakama ya Kisutu.
Peter Kibatara
Ulinzi pia ulikiwa mkali