Pages

HATIMAYE NIMETIHIBITISHA KWAMBA HABARI YA HUYU DADA KUKAMATWA NA UNGA NI YA KWELI 100%!!

Mrembo Fatma maarufu kwa jina la Brown Berry wa mitaa ya Ilala Jijini Dar es salaam haukumiwa kunyongwa mpaka kufa baada ya kupatikana na madawa ya kulevia nchini Misri hukumu ishatolewa na anatakikana kunyongwa ijumaa hii huko huko Misri. BROWN BERRY
Tufanyaje tumuokoe mrembo Fatma maarufu kwa jina la Brown Berry???? Je ubalozi wa Tanzania Misri unaweza kuongea lolote kuhusu ili?
Maana nchi za wenzetu hawaruhusu jambo hili litokee kwa watu wao utasikia tu wanaandamana wanamtaka mtu wao akaukumiwe nchini kwao je kwanini uongozi wetu unakuwa nyuma kufuatia suala hili? Je inamaana watanzania hatuna dhamani? Natamani angekuja kuadhibiwa huku nyumbani maana mrembo huyu anafamilia na mtoto mdogo anaye mtegemea ata angepata fulsa ya kuacha usiha kwa mwanaye.
BROWN BERRY
FATMA AKA BROWN BERRY AKIWA NA MWANAYE
BROWN BERRY Huyu Dada ni kweli amekamatwa na unga, ila kuna uwezekano mkubwa kwamba anatumia passport isiyokuwa ya Tanzania. Baada ya kuwashukia ndugu zake walionipigia jana leo wamekubali kwamba ni kweli amekamatwa lakini hawana hajahukumiwa, habari ya ndugu zake zina utata kidogo, lakini ukweli ni kwamba amaekamatwa na sasa ninaamini kwamba hata Ubalozi wetu huko hauwezi kumsaidia kwa sababu hana passport ya bongo.
Lemutuz