Mrembo Fatma maarufu kwa jina la Brown Berry wa mitaa ya Ilala Jijini Dar es salaam haukumiwa kunyongwa mpaka kufa baada ya kupatikana na madawa ya kulevia nchini Misri hukumu ishatolewa na anatakikana kunyongwa ijumaa hii huko huko Misri. 
Tufanyaje tumuokoe mrembo Fatma maarufu kwa jina la Brown Berry???? Je ubalozi wa Tanzania Misri unaweza kuongea lolote kuhusu ili?
Maana nchi za wenzetu hawaruhusu jambo hili litokee kwa watu wao utasikia tu wanaandamana wanamtaka mtu wao akaukumiwe nchini kwao je kwanini uongozi wetu unakuwa nyuma kufuatia suala hili? Je inamaana watanzania hatuna dhamani? Natamani angekuja kuadhibiwa huku nyumbani maana mrembo huyu anafamilia na mtoto mdogo anaye mtegemea ata angepata fulsa ya kuacha usiha kwa mwanaye.

FATMA AKA BROWN BERRY AKIWA NA MWANAYE

Tufanyaje tumuokoe mrembo Fatma maarufu kwa jina la Brown Berry???? Je ubalozi wa Tanzania Misri unaweza kuongea lolote kuhusu ili?
Maana nchi za wenzetu hawaruhusu jambo hili litokee kwa watu wao utasikia tu wanaandamana wanamtaka mtu wao akaukumiwe nchini kwao je kwanini uongozi wetu unakuwa nyuma kufuatia suala hili? Je inamaana watanzania hatuna dhamani? Natamani angekuja kuadhibiwa huku nyumbani maana mrembo huyu anafamilia na mtoto mdogo anaye mtegemea ata angepata fulsa ya kuacha usiha kwa mwanaye.

FATMA AKA BROWN BERRY AKIWA NA MWANAYE
Lemutuz