Hatimaye Awamu ya Kwanza ya Rasimu ya Katiba Imezinduliwa Jijini DSM (Video)
Awamu ya kwanza ya rasimu ya katiba imezinduliwa jijini Dar es Salaam ambapo imetoa ufafanuzi wa mambo kadhaa wa kadhaa ikiwemo madaraka ya rais, muundo wa muungano huku ikibainisha wazi kuwa kuwepo na mgombea huru wa nafasi ya urais.