Pages

AZAM YALETA BOTI MPYA KWA AJILI YA USAFIRI ZANZIBAR (Video)

Wananchi wa Zanzibar wamendelea kufaidika na uwekezaji wa sekta za usafiri wa baharini baada ya kampuni ya Azam kuleta boti nyengine mpya na ya kisasa ambayo itatoa huduma za usafiri katika bandari za Dar,Unguja na Pemba.