AZAM YALETA BOTI MPYA KWA AJILI YA USAFIRI ZANZIBAR (Video)
Wananchi wa Zanzibar wamendelea kufaidika na uwekezaji wa sekta za
usafiri wa baharini baada ya kampuni ya Azam kuleta boti nyengine mpya
na ya kisasa ambayo itatoa huduma za usafiri katika bandari za
Dar,Unguja na Pemba.